Zari azua utata kwa kufanya hili kwenye kaburi la Ivan Ssemwanga

Zari Hassan amezua utata baada ya kuonekama akikaa juu ya kaburi ya aliyekuwa mume wake wa kitambo – Ivan Ssemwanga.

Ivan alifariki Mei akiwa Afrika Kusini alipokuwa akipata matibabu, mzazi mwenza wa Zari alizikwa kwao Kayunga, nchini Uganda.

download latest music    

Hatua ya Zari kuketi kwa kaburi ya Ivan imezua kelele kwenye mtandao wa jamii kwani kuna wale wanasema Zari haeshimu mwenda zake.

ray_officially: sasa huyu cameraman/women ulimwambiaje twende kwenye kaburi la ivan unipige picha au ulimuambiaje jaman@zarithebosslady

wisdomnelsonsalome: Jamani, kila mtu anastaili yake ya kuishi, unaweza ukawa na pesa lakini ukatumia kwa akili, wengine wakipata pesa anawaza kubadili nguo na mikoba, msimuhukumu mtu kwakile alicho penda. Wingine kutwaa kwenye majumba ya kupanga afu unamdc mwenzio kwann analife style ile ile, mwacheni boss Lady afanye anachopenda, mbona ninyi

homa_ya_jiji__: Daa hii picha inaujumbe mpana sana

dianamtenga: Wabongo wanafki jmn..watu huwatunaenda kuzika makaburini nawatu wa nakaa juu yamakaburi mara kibao..ila leo amekaa zari bc nizambi

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere