Zari Kula Sahani Moja na Baba Yake na Beyoncé

Mfanyabiashara maarufu Afrika mashariki ambaye pia ni mzazi mwenzake na Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady anatarajiwa Kula sahani moja na Baba yake na staa wa Muziki Beyoncé.

Zari anatarajiwa kuwa Mshehereshaji (Host) katika hafla hiyo lakini sambamba naye atakuwa Mathew Knowles ambaye ni Baba mzazi wa Msanii Beyonce Knowles.

download latest music    

Tuzo hizo maarufu zaidi barani Afrika zenye lengo la kutambua mchango wa viongozi na wafanyabiashara walioleta mabadiliko kwenye jamii zao, zitatolewa siku ya Jumatano Oktoba 17, 2018 katika ukumbi wa The Sun Time Square Arena mjini Pretoria, Afrika Kusini.

Viongozi wakubwa wa kisiasa na watu maarufu duniani watakuwepo k mwa ajili ya Kupewa tuzo mbali mbali lakini pia wasanii maarufu kama rapper  Ice Prince na  Omotola Jalade Ekeindþe wote kutoka Nigeria, Jah Prayzah kutoka Zimbabwe.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.