Zari Kwa Hamisa “Ulijua Kuwa Diamond Ana Familia Lakini Bado Ulimpanulia Miguu Yako”.

Mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenza wa msanii wa bongo fleva Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ameendelea kutawala tena headlines baada ya bifu lake na Hamisa kuendelea kupamba moto mtandaoni.

Hamisa na Zari waliingia vitani wiki iliyopita baada ya kukutana nchini Uganda ambapo kila mmoja alikuwa ameenda kuhost party. Tangu wiki iliyopita wawili hao wameendelea kirushiana vijembe kwenye mitandao ya kijamii.

download latest music    

Siku ya jana kupitia mtandao wake wa snapchat Zari amemrushia dongo jingine Hamisa huku akimtaka aachane na Diamond kwani wameshasamehana na wanapendana sana:

Ulijua wazi kabisa kuwa alikuwa ni mwanaume wa mtu  na ana familia na watoto lakini bado ukaenda kumpanulia miguu yako na kuzaa naye unafikiri hilo gundu litanipata mimi? Kwa kipi nilichofanya hilo linakurudia mwenyewe. Ukitaka rusha picha video zote za zamani hamna shida sisi tumesha sameheana tumesahau ya nyuma sahivi tunaangalia mbele  ule uchawi wote uliokuwa unamwekea unaisha sahivi amerudi katika akili zake za kawaida. Eti unajiita mtoto mdogo mimi nauzee wangu ndo namridhisha na kanikubali. Mpaka sahivi una watoto wawilo kila mmoja na baba yake hivi ukifikisha umri kama wangu utakuwa na watoto wangapi na kila baba wa mtoto anakukataa? Kwa nini unamng’ang’ania  Baba Tigfah na Nillan kwa nini sio Baba Fancy? Una wazimu”.

Zari ameendelea kumpa madongo Hamisa kwenye mitandao ya kijamii huku akimuonyesha kuwa yuko na Diamond nchini South Africa ambapo wanakula bata.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.