Zari na Watoto Wake Waendelea Kula Bata Dubai (Picha)

Mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Zari The Bosslady ameendelea kula bata Dubai na watoto wake.

Zari ameenda Dubai kwa ajili ya mapumziko ya Pasaka pamoja na familia yake ambapo ameongozana na watoto wake watatu wakubwa na mpiga picha wake.

download latest music    

Hizi ni baadhi ya picha za Zari na familia yake wakila bata:

 

 

 

 

 

 

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.