Zari Ni Hodari Wa Mapenzi- Diamond Platnumz

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesuka gumzo siku ya jana Kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuimba kipande cha wimbo chenye maneno “Zari hodari wa Mapenzi”.

Diamond ambaye alikuwa Kwenye Mahusiano na Zari kwa takribani miaka minne mpaka walivyimwagana mapema mwaka huu aameibuka na kusifia ujuzi wa mapenzi wa mama watoto wake huyo.

download latest music    

Diamond amesema maneno yake Kupitia kipande cha video Kilichomuonyesha akiimba wimbo mpya wa Msanii kutoka WCB Mbosso uitwao ‘Hodari’ ambapo ndani yake amemtaja Zari kama Hodari wa mapenzi.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.