Grieving Bongo singer Muna Love narrates how Mercy Masika helped her throughout her son’s sickness and in death

Muna Love recently lost her son Patrick Peter who was suffering from brain tumor. The late Patrick died at Nairobi West Hospital, he was in a coma for six days.

Speaking to journalists at her home in Mbezi, Tanzania, Muna Love praised Kenyan singer Mercy Masika for helping her throughout her son’s sickness and in death.

The Bongo singer reveals that it was Mercy Masika who linked her with the best doctor at Nairobi West Hospital;

“Tulipofika Kenya tulipokelewa na Mercy pamoja na mume wake. Kisha baada ya kukaa nao wakaniunganisha na Daktari mkubwa wa watoto nchini Kenya. Hivo tukaenda kumuona Daktari aliyeitwa Dr.Bore. Daktari akatupa maelezo ya kupata huduma katika hospitali za Nairobi. Kulingana na maelezo ya Daktari tukaona tutamudu huduma ya Nairobi West. Hivyo tukiwa kwenda hospitalini ili Patrick aanze matibabu,” Muna Love narrated.

The late Patrick Peter
The late Patrick Peter
Unwavering support

Muna Love says Mercy Masika also facilitated the transfer of her son’s body to the mortuary when he finally died. She says the ‘Mwema’ hit maker also made the necessary airport arrangements to transport the body from Kenya to Tanzania for burial.

“Baada ya kupata taarifa kuwa mtoto amefariki, Mercy pamoja ma mume wake walinisaidia kupata uhifadhi wa mwili wa mtoto. Kuna wengine pia kama vile akina DJ MO, Evelyne Wanjiru walichanga fedha ili niweze kusafirisha mwili mpaka Tanzania. Walinipeleka kwa Kampuni ya Lala Salama ambayo ilipewa jukumu la kuitoa maiti Nairobi West Hospital. Tulisaini mkataba wa kushughulikia mwili wa marehemu kisha tukakata tiketi za Ndege. Sikuweza kusafiri na mwili kwa sababu za clearance kule airport,” said Muna Love.

 

 

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere