“He has been beating and verbally abusing me!” Bongo songbird Ruby exposes baby daddy

Image: Ruby hanging out with King Kiba

Ruby who is a popular female artist from Bongo has been living a life full of fear and stress as revealed on her Instagram page.

Ruby with her ex

For the very first time, the singer who also happens to be a mum of one adorable baby girl revealed a few unknown things about her baby daddy leaving her fans sympathizing with her.

According to Ruby, she has been living with an abusive man who has not only been physically abusing her but also verbally and even mistreating her.

Ruby finally speaks

This comes shortly after rumor had it that the singer was now involved with Juma Juxx. As expected there were fans who called her out for ‘betraying’ the father of her child not knowing that there was more to the story.

In a well detailed post Ruby narrated her past life exposing her ex for being her worst nightmare. She went on to write saying;

Singer Ruby

Nimekuwa nikijiuliza niseme ama nionge kwa nani ila katika hizi dhama lazima kusema ukweli wenda nayopitia ama niliomaliza kupitia yanampata binti wa kike mwenye umri kama wangu au zaidi yangu ila tu amekuwa kifungoni kwa kasumba yakuonekana mbaya kama taswira ilivyo kwa watu wengi kuwa wanawake huwa tunazingua sana.

Abusive partner

Nimepitia vipigo, manyanyaso, fedhea, kudhalilushwa na kuitwa majina yote kutoka katika kinywa na mikono ya mwanaume ambae alikuja kwangu kutaka support ya kimuziki ila unajua tena love doesn’t ask why? Nilijitolea kumpa support na kuonesha uma kuwa Nina muamini na Nina imani na kipaji chake ila ili hali kuna msemo unasema mwana kulitaka mwana kulipewa; Nimekuwa nikitumia ata jina langu ili dogo kumpambania na kumtambulisha kwa wasanii waliondelea ila mwisho wa siku Nimekuwa nikiambulia vipigo na kuitwa majina ambayo mengine siwezi yaandika kwasababu kuyasema ni kuweka kumbukizi Katika tamati ya maisha niliyomuomba Mungu anipe muongozo na anioneshe njia iliyo bora zaidi.
Ukiangalia baada ya kila jambo niliamini labda yataisha na mwenzangu kubadilika ila aikuwa kama nilivyotegemea. Despite kujitoa kwa familia yangu na yake na kuwa mbele kwa kila jambo lake ata kutumia kidogo changu kumpush kwa njia tofauti ila bado aikuwa na mantiki kwake.
Mimi ni binti mdogo ambae Nina vision na maisha mbele yangu siwezi katishwa tamaa na jambo lolote linaloendelea na yanayofanywa na baba mtoto wangu kwasababu nimeamua kufikia tamati laasha ningemshauri muda huo anaotumia kuyasema ya uongo angetumia kumuombea mtoto wake akuwe katika njia zimpendezayo Mungu kwasababu kwa kumuangalia sintotaka kumpa mzigo huo kwasababu binafsi anajua nilivyopambana kwake na familia kiujumla ila kwa anayofanya nakuombea Mungu akupe amani ya Moyo.

Ruby goes on to reveal that she even tried getting him to with Diamond Platnumz only for him (baby daddy) to show his true colors.

Nimejitahidi kwa uwezo wangu kukuunganisha na kaka yangu @diamondplatnumz mwisho wa siku unishushie makofi natembea nae ukuishia apo unayasambaza na ya mtu tunae eshimiana @juma_jux kusema natembea nae.

Conclusion….

Hii kama mtoto wa kike inaniharibia taswira mbele ya jamii yangu na watu wanaoniangalia kama kioo ili hali ni chuki tu na kutokujitambua kunafanya mtu anaamua kuunda na magroup kusambaza stori hizi ili nionekane mbaya.

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua