Why Diamond Platnumz’s sister Esma is missing Hamisa Mobetto 

Sister to Tanzanian singer Diamond Platnumz, Esma Platnumz, has confessed that she misses hanging out Hamisa Mobetto after she parted ways with her brother.

Esma said that the two became friends during the relationship and nowadays they don’t get to meet a lot.

She said that she was not saying she missed her for publicity, but it was something she was saying from her heart.

“Sijasema hivi kwa kutafuta kiki jamani ila nimeongea ukweli kutoka moyoni. Misa alikuwa ni rafiki mzuri sana kwangu ingawa siku hizi kuna watu kwenye mitandao wanamuaribu na amekuwa tofauti na mwanzo,” said Esma in the interview with Global Publishers.

New lover

The statement comes barely days after Hamisa Mobetto introduced her new flame on Instagram, months after the split with Diamond Platnumz.

Why Hamisa Mobetto is apologizing to everyone and no one in particular 

Socialite Hamisa Mobetto has come out to ask for an apology from her fans and everyone else she might have angered in the past.

Hamisa took to social media to post a rather long letter, begging for apology for no one in particular saying that the life she was living was not good and she has to change.

“Dunia inaenda mbele na watu wanabadilika, pengine lifestyle ya zamani haikuwa nzuri na mpaka kusababisha ‘mambo flani flani’ kutokea katika maisha yangu lakini umri unapozidi kusonga mbele akili inatanuka na kujifunza mambo mengi kwenye maisha. Hamisa wa sasa sio kama yule wa zamani, nimezidi kuwa na akili yenye kupambanua mabaya na mazuri na kuchukua hatua ili kuenda na kasi ya ukuaji wa akili yangu. Namshukuru Mungu ananiongoza vyema na naona baraka anazonipatia. Nimeingia katika migogoro ya hapa na pale kama kutukanana na watu kwenye mitandao na yote hayo ni aidha kwa kufahamu au kutofahamu lakini kwa kuwa yamepita basi niyaache tu na niendelee na safari ya maisha nikiwa mpya kabisa. Fanbase nayo haikuniacha ilikuwa na mimi wakati wote huo kama ugomvi basi walipigana kwa ajili yangu,” she said.

New me

She went on to share that she’s sorry to fans who she might have attacked on her platform in the past after an argument.

“Lakini pia inawezekana niliwahi kuwakwaza watu kwa mambo yangu, nichukue fursa hii KUWAOMBA SAMAHANI na kuwaahidi kuwa haitokuja kutokea tena kwa sababu Hamisa wa sasa nimebadilika na ndio maana sitahitaji tena kuingia kwenye ugomvi wa aina yoyote na mtu yeyote yule katika maisha yangu na pia niwaombe mashabiki zangu na Fanbase kwa ujumla iwe kwenye groups za whatsapp au pages za kwenye social media kutojihusisha na ugomvi au matusi na mtu yeyote atakaetaka ugomvi na mimi na badala yake nguvu kubwa iwe kwenye kuendelea kuni’support kwa nguvu kubwa. Nia yangu ni kutowaingiza wale wanaonipenda katika matatizo kwa sababu hawastahili hata kidogo kupata shida kwa sababu yangu. Ninawapenda mno ‘Namalizia kwa kurudia tena ‘Dunia inaenda mbele na watu wanabadilika'”

“I would end her singing career if I were to drop my own music!” Diamond Platnumz sister throws shade at Hamisa Mobetto

Esma Platnumz and Hamisa Mobetto’s story is that of two good friends who no longer see eye to eye. For about a year now the two former friends ended their friendship after Hamisa got pregnant for singer Diamond Platnumz.

Esma with Hamisa Mobetto’s son, Deedaylan

Although we never get to hear Hamisa Mobetto’s side of the story; Esma on the other hand never holds back from saying what she feels. Well, just recently the lady held an interview with Wasafi TV where she openly criticized Hamisa Mobetto’s song ‘Madam Hero.”

Her vocals are still lacking

According to Esma, Mobetto needs to get a voice coach to sharpen her singing skills. This is because apparently she fails to understand the message being passed on in the new song.

Esma went on to add that if she got a chance to just record one song…that would be the end of Hamisa Mobetto’s career. It is however not surprising since Diamond’s sister and her mum have always been out to humiliate the young lady who is said to have ruined Diamond and Zari’s relationship. Watch the interview below.

https://www.instagram.com/p/BnCJOoDDWS3/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=f23elv1c1r6e