Ali Kiba Akataa Mualiko Wa Diamond Badala Yake Ampa Ofa Kupitia Mofaya

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Kiba amefunguka na kusema hataweza kushiriki katika tamasha la Wasafi Festival Kama alivyoonbwa na Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz.

Siku chache zilizopita Diamond Platnumz alitangaza kumkaribisha msanii huyo kwenye tamasha hilo litakaloanza hivi karibuni Kama mmoja wa wasanii watakaopanda stejini.

download latest music    

Ali Kiba amefungukia mwaliko huo na kuweka wazi kuwa hataweza Kushiriki kwenye tamasha hilo kutokana na majukumu ya kinywaji chake cha Mofaya:

https://www.instagram.com/p/Bp374WbB5YB/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=165bmfx3zngd9

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.