Ali Kiba Athibitisha Mofaya Kuanza Kupatikana Jijini Dar

Staa wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na kibao cha cha ‘Kadogo’ Ali Kiba ametangaza rasmi kuanza kupatikana kwa kinywaji chake cha Mofaya katika mkoa wa Dar Es Salaam.

Baada ya kinywaji hicho kuhairishwa kuingia sokoni kwa miezi kadhaa tangu mwaka jana mwezi wa nne mpaka hivi karibuni hatimaye kinywaji hicho kimeingia sokoni rasmi.

download latest music    

Ali Kiba alitangaza habari hiyo njema Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo aliandika maneno haya:

Sasa Mofaya Energy Drink zimeanza kupatikana jijini Dar es Salaam kwa Mawakala Wakuu (main Distributors) :- :
Unaweza kuwasiliana nao kulingana na maeneo wanayopatikana.
:
Manzese. Magomeni. Ubungo. 0762841318 | 0717009035
:
Tabata. Ukonga. Segerea – 0717646022
:
Mbezi. Tegeta. Kawe. Mwenge. Salasala 0673207256
:
Kariakoo 0656990000| 0754990000| 0715629674
:
Kwa wateja wote wa rejareja mnaweza kuwasiliana na wakala wakuu kwenye number hizo . Mikoani kaeni tayari tunakuja karibuni, tunachukua order kutoka kwa wakala wakuu ( Distributors) kwenye number hiii 0755 333 302“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.