Alichofanya Diamond na Davido ni Love, Hatujalipwa:-Babu Tale

Meneja wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakisema kuwa inawezekana show ya Davido ilikuwa imeshapngwa ili Diamond atokee kwa suprise  katika ukumbi wa Nextdoor, Babu tale anasema kuwa kufanya hivyo kwa  Diamond hakuna malipo yoyote kwa sababu wale tu ni marafiki na walikuwa wamekweisha ongea.

ile ni love tunaita, wale wawili wanazungumza, kama angekuwa anamtaka diamond na kunifuata mimi basi angekuwa amefuata sheria lakini ameongea nane yeye na wakakubaliana  ule ni urafiki wao waliongea kwaio sisi tukatoa blessings tu tukamwambia nenda.

Ingawa hapo awali pia iliwahi kusikika kuwa wasanii hao wana bifu kubwa lakini maneno hayo yamethibitika kuwa hayana ukweli owowte kwa sababu waliwahi kutoa wimbo uliofanya vizuri sana wa ONE ONE REMIX.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.