Alichofanya Diamond na Davido ni Love, Hatujalipwa:-Babu Tale
Meneja wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakisema kuwa inawezekana show ya Davido ilikuwa imeshapngwa ili Diamond atokee kwa suprise katika ukumbi wa Nextdoor, Babu tale anasema kuwa kufanya hivyo kwa Diamond hakuna malipo yoyote kwa sababu wale tu ni marafiki na walikuwa wamekweisha ongea.
ile ni love tunaita, wale wawili wanazungumza, kama angekuwa anamtaka diamond na kunifuata mimi basi angekuwa amefuata sheria lakini ameongea nane yeye na wakakubaliana ule ni urafiki wao waliongea kwaio sisi tukatoa blessings tu tukamwambia nenda.
Ingawa hapo awali pia iliwahi kusikika kuwa wasanii hao wana bifu kubwa lakini maneno hayo yamethibitika kuwa hayana ukweli owowte kwa sababu waliwahi kutoa wimbo uliofanya vizuri sana wa ONE ONE REMIX.