Amber Lulu na Diva Hawana Kinyongo Ku-share Penzi La Prezzo.

Msanii wa Bongo Fleva ambae pia ni video vixen,  Amber  Lulu amesema kuwa hana kinyongo kabisa na mwanamke mwenzie Diva The bossy kwa  sababu ya kushare penzi la Prezzo , msanii kutoka Kenya .Mwanadada Diva alikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Prezzo wa Kenya mwaka 2103 lakini walikuja kukorofishana na sasa hivi msanii huyo yupo katika uhusiano wa kimapenzi na msanii mwingine bongo  Amber Lulu.

Amber Lulu ameiambia Clouds Fm katika kipindi cha XXL, kuwa pamoja na kwamba yeyey na Diva wametembea na mwanaume mmoja lakini wako vizuri na hakuna aliye na bifu na mwenzie hata mmoja na hata wanapokutana wamekuwa wakizungumza bila shida yoyote.

download latest music    

hapana hajawahi kabisa na juzi nilikwa nae yupo fresh kabisa,nafikiri hivyo ni vitu vya zamani na yeye kwa sasa ana maisha yake mapya na heri muziki, kwaio maisha ni mapya na ni maisha mengine yamebadilika kwaio hakuna kumaindiana kabisa. -Aliongea Amber Lulu.

amber lulu na prezzo walianza mapenzi yao mapema october mwaka jana na kufikia hatua ya kupost baadhi ya picha wakiwa nusu uchi uku wakiitana mama watoto , na penzi hilo lilikiki kwa muda kidogo katika mitandao ingawa kwa sasa kidogo limepungua.Amber Lulu alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasanii kadhaa bongo akiwemo Young Dee.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.