Amber Rutty , Mpenzi wake Wafika Mahakamani Kusilikza kesi Yao

Mwanadada Amber Ruty na mpenzi wake siku ya  December 11 walifika tena mahakamni kwa mara ya kwanza tngu waliotoka kwa dhamani ndani kwa ajili ya kusikiliza  kesi yao inayowakabili.

Mwanadada huyo na mpenzi wake walikabiliwa na kesi ya kusambaza na kurekodi picha na video za uchi huku wakifanya mapenzi kinyume na maumbile .

download latest music    

Wakiwa mahakamani hapo, wawili hao walisomewa mashtaka yao ambapo Amber Rutty alisomewa kosa la kumruhusu mpenzi wake kufanya nae mapenzi kinyume na maumbile, kosa ambalo alilikana,  lakini kosa lingine ni kuchapisha video hizo katika mitandao ya kijamii, lakini pia kusambaza video hzo katika mitandao ya whatsapp.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.