Aslay Agoma Tena Kufananishwa na Alikiba.

Msanii anaefanya vizuri sasa na wimbo wake wa sabalkheri aslay amewaomba mashabiki wake kuacha tabia ya kumfaninsha na kumlinganisha na Alikiba kwa sababu hawezi kabisa kulingana nae kwa chochote kwa sababu Alikiba ni msanii mkongwe na kazi yake ya kuupeleka muziki mbele imeshaonekana sio sawa na yeye ambae bado anatakiwa kufanya kazi kubwa ili kukuza muziki wake.

Aslay ameyasema hayo tena hivi karibuni baada ya kuona kuwa kuna watu wengi ambao wamekuwa wakisema kuwa kwa sasa ameshafanya vizuri na kukua kimuziki kiasi kwamba anaweza kufanya show na alikiba na bado akaweza kumfunika Alikiba akafanya show siku moja na watu wakajaa kwake na sio kwa Alikiba.

download latest music    

kama kuna masgabiki wanafanya hivyo basi wanakosea sana kwa sababu wasanii wanaonifananisha nao wameshafika level zingine kabisa.na mimi ninajitahidikufika level hizo siku moja , kwaio unavyonifananisha nao kwanza unania kisaikolojia,kwa sababu na mimi nitajiona kama nishafika  hatua zao kumbe bado sana.

ukisema kuwa umlinganishe aslay na alikiba utakuta kuwa unakosea vitu vingi sana kwa sababu yeye tayari alishaingia katika tuz mbalimbali ambapo sasa hivi hata akifanya show anajaza sana .

Aslay anasema kuwa kwa muda huu yeye so wa kujifananisha na mtu yoyoyte kwa sababu bado anataka kufanya kazi ambao itamfikisha katika level nyingine na kupiga hatua kama walizopiga wasanii wakubwa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.