Aunty Amuweka wazi Role Model Wake
Mwanadada Aunty ezekile ameamua kuweka wazi hisia zake kwa msanii mkubwa wa nje ambae anamkubali nahata kufuata nyayo zake katika tasnia ya filamu anayofanya yeye kwa sasa.
katika ukurasa wake wa instagram Aunty Ezekiel aliweka picha ya mwanadada Kajol ambae aliwahi kuigiza katika kuch kuch huku mashabiki wake wakifurahia jambo hlo na kusema kuwa inawezekana kwa sasa msanii huyo ameamua kuwaweka wazi mashabiki zake.
Mwanadada Aunty amekuwa akifanya vizuri sana ktika tasnia ya bongo na ni moja ya wasanii wa kike ambao hawana skendo kama wasanii wengine wa kike.