Aunty Ezekiel avunjika moyo baada ya ‘mama’ yake kufariki

Wikendi hii iliyopita mrembo wa filamu za bongo Aunty Ezekiel alimpoteza nyanya yake ambaye alimlea toka utotoni na kulingana na habari zinazoenea, bibi yake alikuwa kama mama na baba kwake baada ya wazazi wake kufariki.

Picha zinazoenea mitandaoni Aunty Ezekiel anaonekana kuwa na majonzi mengi lakini marafiki zake walikusanyika kumfriji huku wengi wakiandika ujumbe kupitia nguvu kumtia nguvu.

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Aunty Ezekiel aliandika kusema;

Kweli la mungu halina muhamuzi mungu akuweke mahari pema peponi bibi

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua