Aunty Ezekiel Kufunga Ndoa Na Iyobo.

Moja ya wasanii kongwe nchini katika tasnia ya filamu, eunty ezekiel amefunguka na kusema kuwa kwa muda ambao amekaa na mzazi mwenzie ni wakatiu mufaka kwao sasa kufung ndoame  na mwanau yme huyo.aunty ezekeiel ambae amekuwa na uhusiano na mwanaume huyo kwa zaidi ya miaka mitatu na kuweza kubahatika kuzaa mtoto mmoja ya kike amesema kuwa anatarajia kufunga ndoa siku yoyote.

aunty na moze iyobo amabe ni moja ya madansa maarufu tanzania akiwa katika kundi moja la madansa kutoka wcb kwa msanii diamond platinumz  wamekuwa ni moja ya watu maarufu walidumu katika mahusiano na kufanya mapenzi yao kuwa pendwa kwa mashabiki wao.

download latest music    

Akizungumza na moja ya gazeti pendwa nchini, Aunty Ezekiel amesema kuwa anaona kabisa kuwa kwa muda aliokaa na Iose iyobo  unatosha kabisa kufunga nae ndoa kwa sababu wameshajuana vya kutosha ingawa mara ya kwanza hakuwahi  kufikiria kama hatafunga ndoa hivi karibuni.

Unajua huko nyuma nilikuwa sian wazo kabisa  nilikuwa sina wazo kabisa na ndoa  lakini sasa niko tayari, na kuanzia sasa au wakati wowte watu watasikia tu kuhusu ndoa yangu. Alifunguka Aunty.

Hata hivyo hii itakuwa ni ndoa ya pili kwa Aunty Ezekiel ambapo ndoa ya kwanza aliyofunga miaka ya nyuma kidogo kuvunjika.

Kwa hivi karibuni, Aunty Ezekiel atakuwa msanii wa pili kutangaza habari za ndoa ambapo msanii wa kwanza ni Shilole ambae mpaka sasa vikao vya maandalizi ya harusi yameshaanza kufanyika.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.