Babu Seya na Familia Yake Watinga Bungeni.

Mwanamuziki nguli na mkongwe nchini Babu Seya na familia yake ya Viking leo siku ya juma tano wamtinga bungeni ambapo siku ya kesho wanatarajia kufanya sho yao kwa mara ya kwanza katika mkoa wa Dodoma.

Wasanii hao ambao wamealikwa bungeni na mbunge mariam ditopile wakipofika bungeni walishangiliwa na bunge zima baaada ya kutambulishwa na spika wa bunge Mh Job Ndugai baada ya kipindi cha kwanza cha maswali na majibu.

download latest music    

Kama itakumbukwa wasanii wao ni miongoni mwa wafungwa waliotoka kwa msamaha wa Raisi Decemba mwaka jana baada ya kutumikia kifungo chao kwa miaka 14 ambapo kifungo chao kilikuwa ni kifungo cha maisha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.