Baraka :-Sishei Kitu na Mtu Kwenye Page Yangu , na Sitemegei Hivyo Kutoka Kwao

Msanii Baraka The Prince amesema kuwa yeye hawezi kukaa kutegemea msanii mwenzie amposti kwenye page yake huku akiweka wazi kuwa hashei kitu cha  msanii kwenye pegi yake.

Baraka amesema kuwa ukitegemea sana Support unafeli na hasa ukitegemea wasanii kwasababu akisema wao kama wana suppotiana ni unafki. “Sitakaa nikaitaji page ya artist kwasababu still ye wale mashabiki wake, mimi sishare kitu cha mtu kwenye page yangu kabisa na ukiona nimepost mtu jua kaniomba sana na mimi nikishare kitu chako other wise nimekipenda sana,” amesema Baraka.

download latest music    

Baraka anasema kuwa ukitegema kupewa sapoti na watu kila siku ipo siku utaikosa na utajikuta unaanguka vibaya sana, lakini pia anasema kuwa wasanii wengi wamekuwa waitaka kuzionyesha jamii kuwa wanapenana sapoti lakini ukwlei ni kwamba mioyoni mwao wanakuwa na kinyongo na mafanikio ya mtu.

Ukitegemea sana support watu tunafeli sana kwa kutegemea support , tusidanganyane kwamba maartist wote tunasupotiana huo ni unafki tunaionyesha jamii ile kwamba tunasapotiana lakini real na kwenye moyo kabisa hakuna kabisa mtu kabisa eti anamsapoti mtu kiroho safi na ndio maana mimi huwaga na tabia moja siwei kuanza kukwambia kuwa nimekutumia kitu siwezi kukupigia kwamba we ushee inafaa wewe kusuport utapost,” amesema Baracka kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.