Barnaba Awataja Wasanii Hasa wa Kike Kukaa Chonjo na Hamisa Mobeto
barnaba boy amefunguka na kuona kipaji kikubwa alichonacho mwanadada Hamisa Mobeto na kuanza kuwapa tahadhari wasanii wengne hasa wale wa kike kuwa hata siku moja wasije wakakaa wakabweteka kwa sababu Hamisa atawapita muda so mrefu.
Hamisa Mobeto ambae ametoa wimbo mpya hivi karibuni na kuonekana kuwa wimbo huo utafanya vizuri kutokana na kupokelwa vizuri, nawasahasa wasanii kukaa chinjo na wanadada huyo kwa sasa.
Wimbo wa hamisa kwa sasa umekuwa habari ya mjini kwa sababu kila mtu amekuwa akizungumzia wimbo huo ambao ametoa ikiwa ni wimbo wake wa pili lakini amekuwa akiwatia moyo hata wale wanampa sapoti.