BASATA Watoa Msamaha kwa Rayvanny na Diamond Platinumz

Baraza la sanaa tanzania BASATA wameachia barua  na kuwatumia wasanii wawili diamond pamoja na mwenzake rayvanny kuwa wamekubaliwa ombi lao la kuomba msamaha na kwamba adhabu yao imeiesha kuanzia tarehe ya january 22 2019 baada ya kuonekana watiifu wa adhabu waliokuwa wamepewa.

wasanii hao walipewa adhab hiyo mwaka 2018 baada ya kukaidi maagizo yakuacha kuimba wimbo wa mwanza ambao ulionekana kutokuwa na maadili kwa jamii kitu ambacho wasanii hawa hawakuona kama ni swala lenye tija.

download latest music    

Hata hivyo wasanii hawa walifungiwa kufanya kazi yoyote na pia kufanya show sehemu yoyote kwa muda usiojulikana lakini kutoana na huruma ya walezi hao wa sanaa wameliangalia kwa jicho la pili na kuwatolea msamaha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.