Billnass na Whozu Kuja na Kundi Lao la Muziki.

Wasanii Billnass na Whozu wanaweza kujikuta wakiunda kundi kubwa nazuri la muziki hasa baada ya kufanya kazi pamoja iliyofanya vizuri na kuamini kuwa wanaweza kufanya kazi pamoja na kuwafurahisha mashabiki.

Wasanii hao waliotoa wimo hivi karibuni uaojulikana kama kwa leo, wanweza kuuunda kundi kwa mujibu wa billnass aliyekuwa akiongea na waandishi wa habari.Billnass anasema kuwa maneno hayo yanakuja baada ya kukaa na whozu kwa muda sasa na kugundua kuwa whozu ana kitu kikubwa cha muziki ndani yake.

download latest music    

‘Bado mapema sana kuzngumzia swala hilo la kuungana kama kundi kwa sababu ni kitu ambacho kinawezekan kibiashara hakuna kinachotuzuia”

Akiongelea pia picha zinazosamba katika mitandao wakiwa yeye na Barnaba na Dogo janja, Billnass anasema kuwa hakuna ujio wa project yoyote isipokuwa wamekuwa wakikutana sehemu mbalimbali zinazowakutananisha kikazi na ndio maana wameuwa pamoja na hata kukaa pamoja ni baada ya kujiona kuwa wamekuwa na interest zinazofananamuda mwingine.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.