Chid Benz Alalamika Kutolipwa na Jux.

Msanii wa muziki wa hip hop nchini , Chid benz amefunguka na kulalamika sana kitendo cha Jux kushindwa kumlipa pesa yake baada ya kuperfom katika tamsha lao la Love and Money Tour ambalo lilikuwa likifanya katika mikoa mbalimbali akiwa na mpenzi wake Vannesa.

Chid benz anasema kuwa Jux ni msanii mkubwa na ana haki ya kuwasaidia wasanii wnegine kama yeye kwa sababu wote ni wana mzuki lakini haikuwa poa kama anaweza kumuomba mtu kufanya nae kazi kwa malipo alafu ghafla ashindwe kumlipa pesa waliokubaliana,

download latest music    

Tour hiyo ya wapenzi hao ina zaidi ya miezi sasa tangu kuisha kwake na wasanii mbalimbai walinufaika na tamasha hilo kwa sababu walipata pia fursa za kutembeala na kutoa misaada mbalimbali ya kijamii na kukutana na amshabiki wapya .

Hata hivyo kwa kitendo icho, Chid benz anamtuhumu Jux na kusema kuwa haono mchano wa wasanii wengine katika muziki na ndio maana anafanya hivyo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.