Diamond Ampa Ali Kiba Ruksa Ya Kudhamini Wasafi Festival

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz na msanii mwenzake Ali Kiba wameonekana kuelekea katika njia sahihi Baada ya Ali Kiba kuomba kuwa mdhamini kwenye Wasafi Festival na Diamond kukubali.

Kupitia, ukurasa wake wa Instagram, King Kiba ameshukuru kupokea mwaliko huo kutoka WCB na kudai kuwa hatoshiriki kwenye Tamasha hilo kwa sasa kutokana na kuwa na ratiba zake za uzinduzi wa kinywaji chake cha MoFaya na hivyo kusema atashiriki Tamasha hilo kwa kudhamini kupitia kinywaji chake hicho cha MoFaya.

download latest music    

Baada ya majibu hayo ya Kiba, Diamond Platnumz Baada ya kukutana na posti hiyo ya kiba aliamua kukomenti palepale kwa kumueleza kuwa uongozi wa WCB unaendelea kuwasiliana na uongozi wa RockyStar ili kuweka mambo sawa na kwamba tayari jambo hilo limeshapitishwa.

Limepita hilo Ally K@sallam_sk anamcheki Seven now… #DiamondKaranga#MoFaya#WasafiFestival2018 #NewBongofleva #BongoFlevaToTheWorld?@WasafiFM@WasafiFestival???????? “.

Baada ya Bifu la miaka Minho hatimaye Ali Kiba na Diamond wanaonekana kuelekea katika njia iliyonyoooka na kumaliza Bifu Lao.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.