Diamond Amtolea Uvivu Naibu Waziri Shonza Baada Ya Kufungia Nyimbo Zake

Mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amemtolea povu zito Naibu Waziri wa Habari Butudani na Michezo Bi. Juliana Shonza baada ya kufungiwa nyimbo zake mbili.

Mwezi uliopita BASATA walitangaza kufungia nyimbo zaidi ya kumi na tano na moja kati ya nyimbo mbili zilizofungiwa ni za Diamond na hata kuwafungia wasanii kama Roma kufanya shughuli zozote za kimuziki kwa miezi Sita.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya juzi kwenye kipindi cha The Playlist cha Times Fm Diamond aliongelea suala hilo kwa jazba na kuweka wazi kuwa haoni hatari kufungiwa nyimbo hizo kwani hakumpunguziii kitu kwani ataenda kuzi perform nje ya nchi.

Inawezekana Mh. Waziri wa habari amenizidi elimu, mamlaka inawezekana kanizidi kwenye umri lakini Kwenye elimu ya sanaa ya Tanzania nimemzidi apende akatae apende akatae akinichukia mimi sijali”.

Baada ya kutoa povu hilo juzi, Naibu Waziri Juliana Shonza hakutoa majibu yoyote kuhusiana na madai ya Diamond.

Diamond ameonekana kukerwa na majibu ya Naibu Waziri Shonza ambayo amekuwa akiyatoa kuhusu kufungia nyimbo za wasanii bila ya kuwapa taarifa sahihi kabla ya zoezi hilo.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Diana alimtolea uvivu na kumuandikia ujumbe huu:

.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.