Diamond Amuunga Mkono Jokate Kupitia ‘Tokomeza Zero’

Staa wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameingia Mkono jitihada za Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo katika kuboresha elimu.

Wiki iliyopita Jokate alitangaza kufany harambee kwa ajili ya maboresho ya elimu katika Shule ya Minaki siku ya Jumamosi.

download latest music    

Wasanii kadhaa wameunga Mkono jitihada hizo akiwemo Aliyekuwa mpenzi Msanii Diamond Platnumz ambaye Kupitia ukurasa wake wa Instagram amewataka wananchi mbali mbali kushiriki siku ya kesho.

https://www.instagram.com/p/Bn-5ProhAVW/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=e0qllefy8n56

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.