Diamond Platnumz amchana Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kumpa mwanae jina “Abdul Naseeb”

Hamisa  Mobetto ameonekana kutojali watakacho sema watu na kumpa mwanae wa siku kumi sasa jina la ‘Abdul Naseeb’ ambalo likedhibitisha kuwa ni mtoto wa muimbaji, Diamond Platnumz.

download latest music    

Mrembo huyo ambaye alitokea kwenye nyimbo ya Salome Hata hivyo hajafunguka kuelezea sababu zake lakini, jana usiku Diamond Platnumz anasemekana kuwa alimchana kwa kuandika;

Hata hivyo Hamisa Mobetto hakujibu kwani Diamond Platnumz hakumtaja mtu yeyote kwa jina. Mashabiki nao kwa sasa wanachochea kusikia atakachosema Hamisa.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua