Dimpoz Hana mvuto, Hajakaa Kama Mwanaume-Amber Lulu

Msanii wa muziki bongo Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa msanii Ommy Dimpoz hana mvuto wa kuwa mwanaume anaeweza kumuona kwa sababu amekaa kama kongo au mtu hasiejielewa hivi.Akiongea katika online tv ya Jonijo, mwanamuziki huyo alifunguka hayo alipoulizwa kuwa ikitokea kati ya jux na ommy dimpoz wakataka kumuoa ni na atamchagua ndipo alipokuja na majibu haya.

Unanitafutia bifu za Vannesa lakini obviously nitamchagua jux na wala sio ommy kwa sababu kwanza ommy hana ule mvuto na hajakaa kama mwanaume,yaan hajakaa kivile ila jux ndo yule mwanaume ambae hata ukimwamnagalia kwa macho tu unaona , lakini Ommy Dimpozi hawezi kukaa sehemu moja na Jux ku-battle  ni zero yani hana mvuto sijaona kitu ambacho kimenivutia kwake.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.