Diva Akana Kuwa Kwenye Mahusiano na Mo J Wa Gigy

Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM Loveness Malinzi maarufu Kama Diva The Bawse ameibuka na kukana tetesi kuwa yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Mo j.

Mo J ambaye pia ni mtangazaji wa Choice Fm amezaa Mtoto mmoja na video vixens na msanii wa Bongo fleva Gigy Money ambaye Mtoto wao anaitwa Mayra.

download latest music    

Wiki chache zilizopita kuna taariza zilisambaa kuwa Baada ya Gigy na Mo J kuachana Diva ameanzisha mahusiano na Mo j ambapo taarifa hizo zilichochewa na video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii iliyomuonyesha Diva na Mo J pamoja.

Lakini sasa Diva amekana tetesi hizo na kuweka wazi kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na Mo j zadi ya mahusiano ya kikazi ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diva ameandika:

Naomba kwa heshima na taadhima nitoe tamko… Leo Ngoja nijibu..sababu nimejisikia afu pia mechefukwa tu yan na baadhi ya vitu na watu . . oky ni hivi Apa juzi kati niliona sana Picha Zangu na @moj360 kwamba tuna mahusiano. Nilipata simu nyingi za waandishi na nahisi niliwajibu sana short n clear sababu pia sikutaka mahojiano na mtu yan…… Yan mechoka kujielezea nilikuwa yan naona fresh whatever…. Truth is sijawahi kuwa na mahusiano na @moj360 yan ata kutongozana hatujawahi tunaheshimiana sana. Ni vile mliona mtu anaefanana nae tukiwa katika video ya Pamoja. Thought i said this once n im saying this again. Sina plan ya kumpost mtu apa uso ata niwe nae vipi. I prefer privacy siku hizi mekuwa. Kwanza medate watu wachache sana in the undustry kiukweli kweli Some zilikuwa stunts si zaid. kwanza nshakuwa mfanyabiashara nawaza hela zaid…and how to protect my brand na kutoka katika midomo ya watu kwa njia mbaya. Negativity stak.. Damn it work so hard to be here aisee. Living to the fullest livin ma life like happy n shit. Hard work y’all kno.. So ndugu jamaa na marafiki na mashabiki poleni kwa usumbufu. Xoxo Lovely Diva #temporarypost“.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.