Dogo Janja na Uwoya Wabambwa Chumbani Baada Ya Tetesi Za Kuachana (video)

Staa wa Muziki wa Bongo fleva Dogo Janja na Mke wake Movie Star Irene Uwoya wamebambwa na kamera za Clouds Fm wakiwa wamekaa chumbani wakifanya yao.

Baada ya Tetesi kusambaa sana Kwenye mitandao ya kijamii kuwa wanandoa hao wamepeana kibuti hatimaye wameonekana hadharani kwa mara ya kwanza Kupitia Clouds Tv.

download latest music    

Katika moja ya matangazo ya Fiesta Inayorushwa na Clouds Media , kamera ziliwanasa wawili hao pamoja wakiwa pamoja Kwenye moja ya vyumba hotelini.

Baada ya mtangazaji huyo kuingia, Dogo Janja amedai hakuwa na taarifa kama kuna mtu yoyote anakuja hivyo ameshtukizwa huku akidai yeye na mke wake huyo walikuwa wanafanya mazungumzo.

https://www.instagram.com/p/Bn7xlZxhUeg/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1tu3mwusko6nu

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.