Dudubaya Hakulizishwa na Majibu ya Alikiba kwa Diamond

Siku chache zilizopita , msanii kutoka wcb alitangaza na kuomba kuwa katika tamsha kubwa linaloenda kufanyika mwezi huu la Wasafi Festival basi msanii mwenzao mkubwa ambae mara kadhaa imekuwa ikisikika kuwa wamekuwa na ugomvi  kuudhulia tamasha hilo ili kuwafurahisha mashabiki zao.

Lakini katika majibu yake , Alikiba alisema kuwa kwa sasa hawezi kufanya hivyo kwa sababua mekuwa na majukumu mengi sana kiais kwamba hatoweza kuwepo katika tamasha hilo lakini alisema kuwa angeweza kuwapa udhamini  kupitia kinywaji chake cha MO FAYA.

download latest music    

Baada ya kukaa na kuongea na uongzi wa pande zote mbili waliweza kukualiana juu ya hilo, hata hivyo kukutana kwa wasanii hawa ilikuwa ndoto ya mashabiki wengi sana

Msanii Dudubaya alimaaruf kama konki master amefunguka na kusema kuwa hajafurahishwa kabisa na majibu ya msanii alikiba kwa sababu kujibu hivyo ni kama kuonyesha dharau kuwa tamasha hilo sio muhimu kuliko mambo yake.

Dudubaya anaonekana ku-mind majibu hayo na  kumseama alikiba kuwa amekuwa msanii mwenye dharau kwa wasanii wengine, hata hivyo Dudu baya nae ni mmoja wa wasanii watakao tokea katika tamasha hilo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.