Ebitoke Ajibu Tetesi za Kujichubua

Siku chache baada ya mwanadada Ebitoke ku-break the internet baada ya kuweka picha katika ukurasa wake akiwa beach, mwanadada huyo aliaandamwa sana kwanza kutokana na kuzoeleka kwake na muonekano wake hakuwahi kuonekana akivaa nguo za wazi kiais icho.

Hata hivyo, mwanadada huyo alisemwa pia kuwa picha hiyo imeonuesha kwa sasa jisni mwanadada huyo alivyojichubua na ngozi yake imebadilika sana sio kama Ebitoke yule aliyekuwa zamani.

download latest music    

Akiandika katika ukurasa wake wa instagram, ebitoke amesema kuwa watu hawapaswi kuamini sana kila wanachokiona katika mitandao ya kijamii kwa sababu vitu vingine vimekuwa editing na havina ukweli  wowote.

Katika ukurasa wake Ebitoke aliandika “haya lo nimewawekea rangi yangu ya ukweli, zingine zote fake am still black.mpunguze kusema kuwa najichubua tatizo mnaapenda kuamini  mitandaoni maediting  na usiamini kila unachokiamini.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.