Ebitoke: Sijampenda Ben Pol kisa nimpe ubikira yangu

Mchekeshaji wa kike Ebitoke aligonga vichwa vya habari kwa kusema kuwa anampenda sana Ben Pol na anataka mwimbaji huyo amoe.

Ebitoke alifungua roho katika mahojiano na Sasa TV na kueleza jinsi anavyompenda Ben Pol, machozi yalimchuruzika usoni mchekeshaji huyo akieleza jinsi anavyompenda Ben Pol.

download latest music    

Soma Pia: Ben Pol amjibu mchekeshaji aliyelia na kumwomba amuoe

Ebitoke

Katika mahojiano na Juma3tata, Ebitoke alifunguka kuhusu kumpea Ben Pol ubikira wake. Alisema kuwa lazima mwimbaji huyo amoe kwanza ndo ampe ubikira wake.

“Napenda watu waelewe kitu kimoja, mimi sijampenda Ben Pol kisa nimpe bikira yangu, kwa mfano akikataa kunioa basi nitamwacha aendelee na familia yake, kwa sababu watu wanaongea kinoma, lakini kuhusu hilo nitaendelea kujituza mpaka mwanaume wa kweli atokee kwenye maisha yangu ndiyo nitampa bikira yangu,” Ebitoke alisema.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere