Esma Akubali Kumuonea Wivu Zabibu Kiba, Amtaka Kaka Yake Aoe

Wikiend iliyopita ,msanii alikiba alifunga ndoa na mwanamke kutoka kenya ambapo kati ya wasanii waliomtakia kheri siku ya ndoa yake ni msanii mwenzie Diamond Platinumz ambae watu wengi hawakuamiani kama angeweza kumpa hongera hizo.

Dada wa msanii diamond anaejulikana kwa jina la esma platinumz, alifunguka na kuandika katika ukurasa wake kuwa anamuonea wivu sana dada ayke na alikiba kwa furaha aliyonayo kuona kaka yake anaoa.

download latest music    

Akiongea tena kwa nara nyingine katika viwanja vya Leaders club , esma anakiri kuwa ni kweli amekuwa akimuonea wivu kwa sababu hata yeye anatamani sana kaka yake awe na mke mmoja wa halali na sio kucheouka kila siku na pia kaka yake akiona hiyo itawapa wao nguvu kwa sababu wamekuwa wakitukanwa sana na watu kutokana na tabia ya kaka yao kubadilisha wanawake lakini hawana cha kufanya.

sisi hatuna kosa kwamba ukiletewa mtu ukasema  huyu simtaki, inabidi umkubali tu, sasa anapooa unakua u ajua kabisa kuwa huyu ndo wa halali kwaio unakuwa na nguvu ya kusema kwanin upo na huyo wakati huyu yupo.nilijisiakia wivu kwakweli na hata nilivyoandika niliandika huku nikiwa nasisimuka mpka  nywele.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.