Haimaanishi Uwepo Wangu Ukaimba Unachotaka:- FA

Wiki chache zilipzopita wasanii Single Mtambalike pamoja na Mwana FA awaliteuliwa na baraza la sanaa kama wajumbe wa  Baraza hilo , wasanii hao kwa sasa waenaza kufanya kazi katika baraza hilo huku wakihudhuria majukumu yao ya kikazi kama kawaida.

Hata hivyo Mwana FA alionekana jana akiingia katiika ofizi za Baraza hilo akitekeleza majukumu yake huku swala kubwa ikiwa ni kosa la wasanii kutoka kundi la wcb na kupewa adhabu ya kufunmgiwa hata kuambiwa kulipa faini.

download latest music    

Mwana FA anasema kuwa pamoja na kwamba baada ya kuteuliwa kwao wengi walifurahi kuwa watakuwepo kwa ajili ya kutetea haki za wasanii lakini hii haimaanishi kuwa basi  wasanii waimbe wanachotaka kwa sababu tu kuna mtetezi.

Hata hivyo Mwana FA amaemaliza kutataua tatizo la wasanii kutoka WCB kwa kuwaombea kwa uongozi hili kupunguziwa adhabu na kuona jinsi gani wasanii hao wanaweza kutekeleza yale wanayopaswa kuyatekeleza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.