Hamisa Mobetto Afunguka Haya Kuhusu Mpenzi Wake Mpya

Mwanamitindo na msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Hamisa Mobetto amemuanika mpenzi wake mpya Kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuthibitisha mahusiano.

Baada ya tetesi kusambaa kwa muda wa siku kadhaa hatimaye Mobetto amefunguka mahusiano yake na Mwanaume ambaye ameweka Kupitia mitandao ya

download latest music    

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Hamisa ameweka picha yake akiwa na mwanaume huyo ambaye bado hajajulikana jina mpaka hivi sasa na kusindikiza kwa maneno yaliyosomeka:

Roho mkalia moyo ?…….. #Mymirindanyeusi #Mybiggiey #Naurefuwanguwotehapanimekuwamfupi ??“.

https://www.instagram.com/p/Bp8sjX-BUUG/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=fgf4pw6gsl98

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.