Hamisa na Irene Uwoya Waomba Radhi Kwa Picha Zao Za Utupu

Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya na Mjasiriamali Hamisa Mobetto wameomba radhi baada ya kusambaa kwa picha zao za utupu Kwenye mitandao ya kijamii.

Kamati ya maudhui ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) liliwapa onyo wasanii hawa wawili na kuwataka kuomba radhi baada ya kukiuka sheria za maudhui za mtandao.

download latest music    

Irene Uwoya aliomba radhi mbele ya waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa video yake iliyomuonyesha akiwa nusu utupu mwezi uliopita na kuzua gumzo zito.

Lakini pia Kupitia ukurasa wake wa Instagram Irene aliandika ujumbe huu kwa nia ya kuomba radhi kwa mashabiki zake:

https://www.instagram.com/p/BlaPZRPn30Q/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=xx260oz7cz56

Lakini pia Hamisa Mobetto naye aliwaomba radhi Watanzania wote Kupitia vyombo vya habari Lakini pia aliandika ujumbe huu Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

https://www.instagram.com/p/BlaZbqplAl3/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=9scs819pluxg

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.