Harmonize Amwagia Povu Zito Wolper Baada Ya Tetesi Za Kurudiana

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Harmonize amejikuta anamtolea povu zito aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper baada ya kusambaa kwa taarifa za Kurudiana.

Siku chache zilizopita kuna taarifa zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Wolper na Harmonize wamerudiana baada ya Wolper kuposti jina la Harmonize.

download latest music    

Sakata hili lilianza baada ya Wolper kuposti picha kadhaa alizoziambatanisha na Jina la Raj ambalo lilikuwa ni Jina alilomuita Harmonize kipindi cha Mahusiano jambo lililoibua tetesi za wawili hao Kurudiana.

Lakini kabla ya Tetesi hizo kusambaa vizuri Harmonize alimjia juu Wolper baada ya kuulizwa na mashabiki zake kama kweli amemtosa Mzungu wake Sarah na kuamua kuwa na Wolper ambapo alijibu:

Anajitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe bila hata haya wakati tuma msiba wa ndugu yetu, na mwingine katekwa yeye analeta pombe zake hapa”.

Tangu Harmonize man wolper walipoachana wamekuwa maadui wakubwa huku mara kwa mara wakirushiana vijembe Kupitia social media na mara ya mwisho Harmonize alianika Orishas ya wanaume wote ambao Wolper alibanjuka nao.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.