Harmorapa Amponda Mpenzi Mpya Wa Harmonize Adai ni Bibi

Msanii anayechipukia kwa kasi nchini kwenye miondoko ya hip hop Harmorapa amefunguka mengi juu ya Mpenzi wa wanamuziki mwenzie Harmonize, Anayejulikana kama Sarah pamoja na mpenzi wa zamani wa msanii Diamond “Wema Sepetu” akidai kuwa wote ni mabibi yaani watu wenye umri mkubwa.

Akizungumza kuhusu mpenzi huyo wa Harmonize, alifunguka kwamba:

download latest music    

“Mimi namuona yule mpenzi wa Harmonize ni bibi tu, hajaopoa demu pale bali kaopoa mpenzi ambae ni bibi yaani ni kama mimi nikaishi na bibi angu, yaani ndo Harmonize ni kama  anaishi na bibi mzaa mama yake”.

Harmorapa pia alishawahi kufunguka mengi kuhusu  kumpenda Wema aliposema yupo tayari kumliia fedha yoyote kwa ajili ya kuishi naye lakini Wema alikataa kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya kuona hivyo harmorapa alimgeuka na kumponda na kusema ana umri mkubwa. Harmorapa alimshauri mwanamuziki huyo machachari aachane na Sarah na atafute mwanamke anayeendana na umri wake.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.