Hatimaye Aliefunga Ndoa ya Petit Ajulikana

Baada ya kuwa na tetesi za muda mrefu kuwa msanii Karen na Petit man wamekuwa na mahusiano ya kimpenzi na hata kufikia hatua ya kufunga ndoa pamoja na kwamba bibi harusi hakuwa akijulikana , basi picha za siku ya harusi zimeanza kusambaa na kwamba wawili hao wamemua kufanya jambo hilo kutokuwa la siri tena.

Mwanadada karen mtoto wa Gadner G Habash ameamua kufunga ndoa ya kimya kimya na Petit man  miezi michache baada ya mwanaume huyo kuachana na mama wa mtoto wake wa kike Esma Platinumz ambae ni dada yake na Diamond Platinumz.

download latest music    

Karren akiwa na baba yake mzazi.

muonekano wa karen

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.