Hatimaye Aliefunga Ndoa ya Petit Ajulikana
Baada ya kuwa na tetesi za muda mrefu kuwa msanii Karen na Petit man wamekuwa na mahusiano ya kimpenzi na hata kufikia hatua ya kufunga ndoa pamoja na kwamba bibi harusi hakuwa akijulikana , basi picha za siku ya harusi zimeanza kusambaa na kwamba wawili hao wamemua kufanya jambo hilo kutokuwa la siri tena.
Mwanadada karen mtoto wa Gadner G Habash ameamua kufunga ndoa ya kimya kimya na Petit man miezi michache baada ya mwanaume huyo kuachana na mama wa mtoto wake wa kike Esma Platinumz ambae ni dada yake na Diamond Platinumz.
Karren akiwa na baba yake mzazi.
muonekano wa karen