Hatimaye Wema Sepetu Akamilisha Ndoto Yake

Mwanadada Wema Sepetu hatimaye amekamilisha ndoto yake ya siku nyingi aliyotaka kuitiiza baada ya kufanikiwa kufungua duka lake la nguo kwa ajili ya watoto lililopo jijin dar es  salaa.

kwa ara ya kwanza akitoa tamko hilo, mwanadada Wema Sepetu aliweka post katika ukurasa wake wa insta na kusema kuwa  duka hilo litaanza kufanya kazi wiki hii siku ya Jumatano na lengo kuwa ni kufanikisha fuyraha ya wazazi kwa watoto wao.

download latest music    

duka hilo limefunguliwa wakati ambao wanadada huyo trayari ameshapitia miskosuko mingi ikiweo pamoja na ile kudaiwa kuwa moja ya sababu ya lukwama  nibaada ya kutapeliwa kimapenzi na CK na kumuibia pesa zote.

hongera nyingi kwake wema sepetu na mashabiki wanakaribishwa kumfanikisha katika hilo.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.