Hili Ndio Jambo Diamond na Zari Watafanya Kwaajili ya Birthday ya Mtoto Wao Nillan (picha)

Superstaa Diamond Platnumz na mpenzi wake Zarinah Hassan ‘Zari’ siku ya Leo wanasherekea sherehe ya kuzaliwa kwa mtoto wao wa kiume Prince Nillan Abdul anayefikisha mwaka mmoja.

Diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram amefunguka kuhusu mpango wake wa kwenda nchini Uingereza ambapo atakuwa na shoo mji wa London ambapo ameeleza nia yake ya kwenda kufanya sherehe upya nchini humo kwenye steji atakapo kuwa anapafomu kama wafanyavyo mastaa wengi nchini Marekani.

download latest music    

Poppin belaire for my son Prince Nillan first years birthday and I am thinking with Prince Nillan in London so that we can re-celebrate his birthday again live during my performance out there #Nillansbirthday #Selfmade #AboyFromTandale”.

Zari na yeye amefunguka na kumtakia mwanae birthday njema huku akimsifia kuwa anakua haraka na kudai kuwa anazidi kuwa handsome na kuwatahadharisha watu jinsi atakavyo vunja mioyo ya wadada akiwa mkubwa kwa uzuri wake.

Ladies and gentlemen help me wish my hanshaaaam skwiiiiish a happy birthday you surely are growing up fast, I see you breaking up girls hearts soon because this cuteness is overload! Happy birthday my toto Prince Nillan”.

Hizi ni baadhi ya picha za baby Nillan kwa ajili ya birthday yake :

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.