Irene Paul Amtaka Kajala Amtoe Mtoto Katika Mitandao

Moja ya wasanii wanaofanya vizuri sana katika tasnia ya muziki Irene Paul amefunguka na kumshauri  Kajala Masanja kutaka kumtoa na kumuweka mbali  na mitandao ya kijamii  kwa sababu yule ni mtoto bado na ana maisha yake ya baadae.

Irene anasema kuwa pamoja na kwamba mitandaoni kumekuwa na maneno mengi anachoamini ni kuwa kajala tayari ameshaweza kustahimili kila neno lakini anapswa kuiogopa sana mitandao hasa kwa mtoto wake.

download latest music    

Irene anasema kuwa baada ya maneno hayo ya kumsema mtoto wa kajala kutokea amekuwa muoga sana wa mitandao ya kijamii hasa kwa mtoto wake ambae bado anakuwa na anajitahidi kumuweka mbali sana na mitandao.

Irene anasema kuwa kwa kitendo icho basi wasanii wanapaswa kujifunza kuwachaguliwa  watoto wao fubgu la kukaa kwa sababu mwisho wa siku wanapokuwa wako attacked , wale wanaowa-attack hawana wanachojali.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.