Ishara za Mwanamke Mwenye Hisia za Kimapenzi na Wewe.

Sio kila mara mwanaume anaweza kuwa wa kwanza kumpenda mwanamke, mara nyingine mwanamke  anaweza kuvutiwa sana na mwanaume lakini kawa hana njia rahisi ya kuweza kukwambia hisia zake kamili badala yake anakuwa na ishara  na matendo ya kukufanya ujue hali aliyonayo.

Inaweza kuwa ngumu sana kwa sababu hata matendo hayo yanweza kuwa ya siri sana na ya aibu sana muda miwngine , lakini unaweza kugundua baadhi kama;-

download latest music    

Hawezi kuzuia tabasamu muda wote.

mara nyingi mwanamke wa aina hii anapoongea na mwanaume anakuwa na aibu, lakini pia hawezi kujizuia kutabasamau mara kwa mara ingawa unaweza kugundua kuwa kama haukuwepo eneo husika naweza kuwa alikuwa akicheka kwa nguvu na pia alikuwa akiongea vizuri lakini ghafla ukifika na yeye nabadili sura ghafla.

Anakujali muda wote.

mwanamke anapokuwa na hisia na wewe anataka kukujali na kujua shda zako muda wote, kwa mafno kama mmekuwa mkishindwa mahali pamoja muda mwingi atataka kujua kula yako, anaweza hata kutaka kukuletea chakula mara nyingine.kama ni kwenye simu hashindwi kukuuliza kila inapofika muda wa kula, lakini pia atataka kujua wanini umenuna au kwa nini unaonekana hauko sawa.

Ishara za mwili wake.

kuna muda anaweza kutumia hata mwili wake kukufanyai madoido ya hapa na pale ili tu kukuonyesha kitu, mara nyingi anapojua kuwa mahali unapoenda upo basi pia mavazi yake yanaweza kuwa ya mitego mitego sana.angala tembea yake mbele yako, na jinsi anavyokaa na kujiweka ukiwepo unaweza kugundua kitu.

Anatafuta ukaribu.

Msichana mwenye hisia na wewe haogopi kujitenga mbali na wewe hata kama mko wengi, mara nyingi anataka muwe pamoja na kufanya vitu vingi pamoja , mfano kama mko kundi la washkaji wengi basi anaweza kutafuta sababu tu kuwa karibu na wewe lakini sio wale wengine.

Anaibia kukuchunguza.

kuna muda unaweza hata usijuae kama kuna kitu anafanya mkiwa wote, anaweza kuwa akikuangalia sana kila moves bila wewe kujua  na hata akiona unageuka basi anajifanya kama hakuwa anaangalia kwako.Muda mwingine anaweza kutaka kujua unachati na nani au unaongea na nani kwenye simu au kwanini uko karibu na msichana fulani lakini ukiraka kujua kwanini anafanya hivyo hawezi kuwa muwazi zaidi.

Ajali za kujitakia muda wote.

kila mara anawea kutafuta sabau ya kutaka mshikane au muwe karibu, hapa anaweza kuona kitu kidogo na akajifanya kuogopa tu ili umsaidie au umshike  au akukumbatie.

Atatafuta njia ya kupata Attention yako.

kuna muda anaweza kulalamika kitu ambacho kwa uelewa wako wa kawaida unaona kabisa kuwa haikuwa na sababu ya kulalamika, atakwabia kwanini ufanyi hivi kwake au hivi na hii mara nyingi utokea katika mawsiliano ya simu, kwanini nimekutumia sms haujajibu , au mbona nimepiga haujapokea, ulokuwa wapi, unafanya nini , ukiona hivyo basi ujue kuna kitu kinaendelea katika akili ya mwanamke huyo.

ANGALIZO. Endapo mwanamke anakuwa amejitahidi kukuonyesha njia zote za kuwa katika mahusiano na wewe na bado usiweze kuelewa swala hilo, na mahusiano kati yenu yakashindikana, mara nyingi wanawake hao huwachukia wanaume wanaokuwa wamepata nao CRUSHES, hii utokea kwa watu wengi na baada  ya hapo anakuwa kama mwenye hasira na wewe.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.