Juhudi za Madee Katika Kumuandaa Mtoto Wake Kimuziki.

Msanii wa muziki wa bongo fleva  Madee  amekuwa mstari wa mbele katika kumuandaa mtoto wake mdogo wa kike kuwa msanii wa baadae huku akifuata nyayo za baba yake  ili kufikia hatua aliyoifikia yeye.

Katika ukurasa wake wa instagram, madee ameweka pich aya mtoto wake huyo wa kike akiwa studio akitaka kuikaribia mic na chini ya picha hiyo madee aliandika”ipo siku utaifikia mwanangu wala huna haja ya kuharakisha”

download latest music    

Maneno hayo yanaonyesha ni jinsi gani Madee ameshatambua kipaji cha mwanae na amekuwa akifurahi kumuona mtoto huyo akiwa na kipaji kama chake   na amekuwa akitamani sana mtoto huyo kufikia alipofikia yeye.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.