Lady Jay Dee Afunguka Mahusiano Yake ya Spicy.
Mwana dada Lady Jay Dee amefunguka na kuelezea kwanini kwa muda mrefu sasa hajakuwa akimpost mwanaume wake anaejulikana kwa jina la Spicy ambae ndio mwanaume wake kwa sasa.Lady jay dee anasema kuwa pamoja na kwamba wao ni wapenzi lakini mara ya kwanza alikuwa akifanya hivyo kwa sababu walikuwa kaika promotion ya wimbo wao wa together remix na ndio maana walitakiwa kufanya hivyo.
Watu wasisahau kuwa mimi ni lady jy dee, na ile oage ni ya lady jay de sio ya spicy ,kwaio kuna baadhi ya mambo yaabaki kuwa private , kama kuna ulazima wa kuwekwa katika page yangu basi nitamweka na atapostiwa.
ila sipendi sana mambo yangu na page yangu ijae picha ya mtu mwingine,na watu wasipomuona tu huyo mtu katika ukurasa wako wanaanza kuuliza ooh , yuko wapi mtu flani, maisha yangu kama lady jay dee yatabaki kuw hivyo na maisha yang ya mapezni na mahusiano yatabaki kuwa yalivyo.