Le Mutuz Awapa Makavu Wasanii, Asema Steve Nyerere Ndio Kiongozi Anaewafaa.

Mwanahabari le mutuz ameshindwa kulifumbia macho tukio liliotokea hivi karibuni kuhusu matatizo waanayoyapata wasanii katika umoja wao na kuwaambia kuwa pamoja na yote lakini wasanii inabidi wakubaliane na ukweli kuwa Steve Nyerere nde kiongozi anaewafaa kwa sababu amekuwa kiongozi anaewafaa sana hasa kwa alichokionyesha kipindi hiki cha msiba wa msanii mwenzao Agness Masogange.

Le Mutuz amemsifia sana steve nyerere na kumwambia kuwa haikuwa raisi kwa mtu mmoja kuweza kupata habari za kushtukiza lakini akaweza kujipanga yeye na kuwapanga wenzake na kuweza kumzika Agnesss kwa heshima kubwa kuliko ambavyo mtu yoyote angetegemea, na hata Agness mwenyewe hakufikiria kama angeweza kufanyiwa hivyo.

download latest music    

hongera sana @steve nyerere kwa kusimama kwako kidete kama kiongozi  kwa kusimamamia na kufanikisha shughli nzima ambapo kwa siku ya kwanza msiba kutokea haikuwa raisi kutambua kama haya yangewezekana.umehangaika na kulala macho mpaka kumzika kiheshima .ujumbe wangu kwa wasanii ni kwamba aliye na macho aone na aliye na masikio na asikie kwamba  steve ndie kiongozi wenu anayewafaa,na ndie mnayetakiwa kumtumia kutafuta maendeleo yenu.. now its up to you..nazijua figizu figisu zenu lakini sasa make chini na kumpa uongozi rasmi  kwa sababu sio mara ya kwanza amesimama na kuwapa heshima nyie 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.