Makonda Awapigilia Msumari wa Moto Watu Maarufu Wasiotaka Kuoa.

Kama alivyowahi kutangza hapo awali kuwa kama msanii elizabeth lulu michael hatoolewa mwaka huu na bos wa EFM bwana Majjizo basi atahakikisha kuwa anamfunga mwanaume huyo kwa kitendo cha kumchezea binti huyo na kwa kuthibitisha msema wake basi  maneno yake yalianza kutimia baada ya lulu kuvishwa pete ya uchumba.

hata hivyo kwa mara nyingne tena, mh makonda aliweka picha ya watu maarufu akiwemo mwanahabari na msomi mashuhuki bwana Lemutuz na kusema kuwa atahakikisha kuwa watu hao wote wanaoa kama kama watakaidi agizo lake  basi atawafunga.

download latest music    

Katika post hiyo Mh Makonda alisema kuwa watu aliwaagiza karibia wote walishatoa posa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.