Mama Diamond Atoa Sababu ya Mtoto Wake kushindwa Kufika Msibani

Mama mzazi wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kutoa sababu kubwa ya mtoto wake huyo kuacha kwenda katika mazishi ya msanii Godzilla na usema kuwa  so lazima yeye aende kwa sababu yeye na dada yake walikuwepo hakukuwa na shida.

Lakini pia mama huyo alisema kuwa sababu kubwa iliyofanya hivyo ni kwa sababu amekuwa akiona misiba mingi ambayo msanii huyo amekuwa akienda , amekuwa akiwateka mashabiki na kujikutwa wakijitoa aktaika msiba na kuanza kumshangaa Diamond platinumz.

download latest music    

Mama Diamond anasema kuwa amekuwa akiona katika misiba , badala ya watu waliokuwa katika misiba hiyo kushiriki katika misiba wamekuwa  wakimshangaa na kumfuata yeye kila sehemu na kuvuruga utaratibu wa misiba.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.