Mama Wema Aliwahi Kumchongea Wema kwa Hili.

Kama kutakuwa na kumbukumbu nzuri ya hapo nyua mama mzazi wa mwanadada Wema sepetu aliwahi kusikika katika vyombo vya habari akisema kuwa mtoto wake Wema sepetu amekuwa na tabia ya kuwafuga wanaume katika nyumba yake ambao wamekuwa na tabia za kike ( mashoga).

Hivi karibuni Mh Paul makonda ametangza kuwa wanaojulikana kuwa ni mashoga na wanaorekodi video za utupu wanatakiwa kuripotiwa na kukamatwa ili kukomesha tabia hiyo kabisa.

download latest music    

Akiongea na waandishi wa habari hapo awali mama wa mwanadada Wema sepetu aliwahi kusema kuwa amekuwa akichoshwa na tabia ya mtoto wake huyo ya kuwa akiwafuga wanaume wenye tabia chafu kaka hizo.

Hata hivyo iliwahi kusikika bila kuthibitika kuwa mwanadada wema sepetu aliwahi kuitwa polisi hivi karibuni kwa ajili ya mahojiano kutokana na sakata hilo la kufuga watu kama hao ambao kwa sasa wanataka kukomeshwa katika jamii yetu.

Na katika kuonyesha kuwa zoezi hilo linatiliwa mkazo, mh Paul Makonda alisema kuwa alishaanza kupokea mesji na simu nyingi zikiwataja wanaohusika na biashara hizo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.